Uhispania yaomboleza huku idadi ya vifo vya watu waliofariki kutokana na mafuriko ikizidi 150
Takriban watu 158 wamefariki katika maafa makubwa zaidi ya mafuriko nchini Uhispania katika vizazi huku waokoaji wakipambana kutafuta manusura.
Siku ya Alhamisi zaidi ya wafanyakazi 1,200, wakisaidiwa na ndege zisizo na rubani, wametumwa kufanya kazi ya uokoaji huku mvua ikiendelea kusababisha tisho la maafa zaidi maeneo mbali mbali ya nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment