Vita vya Ukraine: Ndege 31 zisizo na rubani zimedunguliwa Ukraine, Jeshi la anga la Ukraine lasema
kulingana na ripoti ya kila siku ya Ukraine kuhusu ya jeshi la anga la Ukraine, Usiku wa tarehe 1 Novemba, jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa makombora matatu ya ndege ya X-59/69, droni 48 za aina ya Shahed, pamoja na droni za "aina isiyojulikana,".
"Pia, ulinzi wa anga ulifanikiwa kuangusha kombora moja la ndege iliyokuwa ikiongozwa na droni ya X-59/69. Malengo ya mashambulizi ya Urusi hayakufikiwa,"
ripoti hiyo inasema,Jeshi la anga lilibaini kuwa, hakukuwa na majeruhi.
No comments:
Post a Comment